
Stakabadhi zake zote ni halali lakini alikamatwa na polisi hivi karibuni baada ya kushukiwa kuhusika na bishara za mihadarati.
Yeye pamoja na waafrika wengine 30, walizuiliwa kwa masaa mengi kabla ya kuachiliwa na kuombwa msamaha.
Lakini siku iliyofuata, bwana Davis alisema kuwa alishtushwa sana kusoma kwenye magazeti kuwa walikuwa wamekematwa kwa kuhusika na biashara haramu ya mihadarati.
"polisi wanatuona sisi kama umbwa," anasema Davis.
kwa taarifa zaidi bofya link hii: http://www.bbc.co.uk
No comments :
Post a Comment
here u,re comments/acha ujumbe wako hapa