
Nimelazimika kumpigia simu RPC kuthibitisha na cha ajabu akaniambia ni kweli.
Nimemshauri kama kiongozi mwenzake mwenye dhamana ya kusaidia kuilinda
Nyumbani kwa mbunge hakai mbunge mwenyewe. Kuna watoto akiwemo mwenye umri wa miezi mitano, mke, ndugu etc. Utapigaje mabomu kwenye nyumba hii, bila shaka yatakuwa mauaji. Lema si jambazi, ni kiongozi, ni role model, ni raia mwema sana na mzalendo kwa taifa lake.
Hii wapi sababu ya kuvamia kwake usiku na kuwapa wanafamilia pychological tortue.
Kama amenielewa atasikia, otherwise "truth will always stand" . Tuko tayari na tulishakuwa tayari, hatujashtukizwa. Tunaendelea kuongezewa kura za madiwani arusha juni 16, 2013. Ni vyema watawala wakakumbuka habari ya Farao na Mungu juu ya mateso ya wana wa Israel utumwani. "Mungu akaufanya moyo wa farao kuwa mgumu, ili azidi kujidhihirisha kwa wana wa Israel"
No comments :
Post a Comment
here u,re comments/acha ujumbe wako hapa