Translate in your language

Friday, April 16, 2010

Mtikila akamatwa

Mwenyekiti wa chama cha DP,Mchungaji Christopher Mtikila (katikati)akichukuliwa na askari kanzu kutoka nyumbani na kumpeleka polisi kwa ajili ya kwenda kupata maelezo baada ya kumtuhumu kwa kuandika waraka wa kichochezi.

No comments :

Post a Comment

here u,re comments/acha ujumbe wako hapa

Kijiweni (nipe 5)