safari ilikuwa kama ifuatavyo:- safari yetu ilianza mnamo saa 3:47 asubuhi kwa kupanda boti
eneo la UTENDE
tulianza juani kisha chole na kumalizia jibondo
watoto Mariam na Abdul wakiwa tayari wamepewa vyandaruavyao tayari kwa kujilinda na Malaria
Baada ya kutoka juani tulielekea kisiwa cha Chole
snapz za kisiwa cha Jibondo
aisee bahari noma hapa ni baadhi ya maeneo yakiwa yameliwa na bahari, na mwenyeji wetu ametuleza kuwa kuna makaburi ya zamani yamechukuliwa na bahari na picha ya mwiso ni msikiti wa zamani ukiwa unachukuliwa na bahari baadhi ya upande wake
NA HII ilikuwa safari ya kurudi baada ya kufanikisha ziara yetu hii katika usimamizi wa zoezi la ugawaji wa vyandarua kwa watoto walio chini ya miaka mitano katika visiwa vya chole, juani na jibondo wilayani MAFIA
KARAIBUNI SANA MAFIA KUENJOY MANDHARI NZURI YA VISIWA NDANI YA VISIWA KWANI KUNA HALI NZURI YA HEWA PAMOJA NA HISTORY NZURI ZA KUFURAHISHA NA AKUFUNDISHA
na hiyo ndiyo safari yetu kwa ufupi
No comments :
Post a Comment
here u,re comments/acha ujumbe wako hapa