Translate in your language

Thursday, March 18, 2010

SIKU WAANDISHI WALIPOPOKEA VYETI KUHUSIANA NA UHANDISHI WA HABARI ZA UGONJWA WA SARATANI KUTOKA MEWATA NA TPHA.

SIKU WAANDISHI WALIPOPOKEA VYETI KUHUSIANA NA UHANDISHI WA HABARI ZA UGONJWA WA SARATANI KUTOKA MEWATA NA TPHA.

Mkurugenzi Mkuu wa (MEWATA),Dr.Sarah Maongezi akikabidhi cheti kwa mwandishi wa Habari Maelezo Bw.Benjamin Sale aliposhiriki katika semina ya mwisho ya mafunzo ya ugonjwa wa Saratani,Katikati ni Dr.Ali Mzige mwakilishi kutoka (TPHA).

Mkurugenzi Mkuu wa (MEWATA),Dr.Sara Maongezi akimkabidhi cheti Bi.Irene Mark mwandishi wa gazeti la Tanzania Daima,katikati ni Dr.Ali Mzige mwakilishi kutoka (TPHA)

Kutoka kushoto Dr.Alfred Kangole(TPHA),Dr.Dominista Kombe daktari bingwa wa magonjwa ya saratani Ocean Road(MEWATA),Dr.Ali Mzige(TPHA),Dr.Sara Mongezi Executive Director (MEWATA)Mr.William L. Mbunga (Mwalimu aliyeshiriki kupitia makala za Saratani za wahandishi hao,Dr.Maryrose Giatas(MEWATA) Wote kwa pamoja walikuwa ni Facilitators katika mafunzo hayo.

Washiriki kutoka vyombo mbali mbali vya habari wakiwa katika picha ya pamoja na Wakufunzi wao.

Jamii inashauriwa kujitokeza kupima Saratani ya matiti katika Hopsitali Ocean Road pamoja na vituo maalum,na sisi kwa kina mama tu kwani hata kina baba pia wanaugua Saratani ya matiti Je ulikuwa unalijua hilo?Kaa tayari kusoma makala mbali mbali zitakazokuelimisha juu ya Ugonjwa huo wa Saratani ni 


No comments :

Post a Comment

here u,re comments/acha ujumbe wako hapa

Kijiweni (nipe 5)