Translate in your language

Friday, March 19, 2010

NEW MODELS FROM NEWFACES IN DIFFERENT COUNTRIES AMBAO WANAANGALIWA NA AGENTS ONLINE KWA AJILI YA COVER SHOOT MPYA MWAKA 2010..


Ana Star Look na ni muda mrefu akitafuta Modelling hasa nje kwa njia nyingi n finally kapata so pls tu m support ili one day 2010..haya !!uki google via site hiyo utaona picha yake ina logo ya New Faces 2010...
his doin music Bongo Fleva,FormerMember wa Rockaz Crew...Sexiest man in dar 2009 and Business man who is into Fashion Na Category alioingia na Magazine Cover !!
Haya kila la Kheri Mohamed Hassan Dogo!!
Anaitwa Randy Shelly anafanya Rock ya chini ni local artist but ameamua kuingia New Faces coz anapenda kweli Modellin as a star..Newfaces ni kampuni iliotoa mastaa wengi sana kupitia online,muda mrefu nilikuwa nikiwasiliana nao na mwisho leo ndio wametamka Rasmi kama MOHAMED HASSAN Ameingia katika Kampuni yao kama model ambae ma agent itabidi wamuangalia Through Pictures na Paypal ..
Kampuni hii iko NEW YORK CITY na Inamatawi yake sweden na Jamaiica na etc...
Hawa ndio wapya waliopitishwa leo so pls ntawaletea wengine pia ok?? google models wote wa new faces na utawapata list na maisha yao na kila kitu chao..
anything people??


DAAAAA Mdau wa  Mafia na kote Ulimwenguni wa Blog hii ni kwa msaada wa blog ya www.diva255.com.

No comments :

Post a Comment

here u,re comments/acha ujumbe wako hapa

Kijiweni (nipe 5)