MKAZI wa Boko Basihaya, aliyefahamika kwa jina la Kimoro Ramadhan (35), amekutwa amejinyonga kwa kutumia kamba ya Akizungumza na Waandishi wa Habari leo , Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Elias Kalinga alisema tukio ilo lilitokea jana majira ya saa 12 jioni katika eneo hilo la Boko, ambapo mtu huyo akiwa amepoteza maisha, akiwa ananing'inia katika dirisha hilo. Kalinga alisema kuwa, sababu za kujinyonga kwake mtu huyo bado hazijafahamika mara moja kufuatia marehemu hakuacha ujumbe wowote na mwili wake umehifadhiwa katika Hospitali ya Mwananyamala na upelelezi unaendelea. |
No comments :
Post a Comment
here u,re comments/acha ujumbe wako hapa