TWIGA STARS YAPATA AJALI Na mmwablog wetu Dar TIMU ya soka ya Wanawake ya Akizungumza na waandishi wa Habari leo asubuhi, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Eliasi Kalinga alisema kuwa timu hiyo iliopata ajali majira ya saa 12 45 jioni katika eneo la Kigogo barabara ya Kawawa wakati wa timu hiyo ilipokuwa ikitoka uwanja wa Taifa ilipokuwa ikicheza na Ethiopia. Katika tukio Katika ajali hiyo, mmoja wa wachezaji wa Twiga, Mwanahamisi Omari(19) alijeruhiwa sehemu za mbavu pamoja na paji la uso,ambapo wengine walipata majeraha kidogo katika miili yao ambapo wote walikimbizwa katika Hospitali ya Tifa Muhimbili na kupatiwa matibabu na kuruhusiwa. Hata hivyo leo alipo wasiliana na Mwanahamisi Omari "Gaucho" kujua hali yake, alisema kuwa anaendelea vizuri na yupo fiti. "Nashukuru naendelea vizuri Watanzania wazidi kutuombea ilitufanikiwe zaidi' alisema Mwanahamisi. Jeshi Mwisho |
No comments :
Post a Comment
here u,re comments/acha ujumbe wako hapa