Translate in your language

Saturday, July 25, 2015

CHANGAMKIA FURSA .........

Kuna kozi imeanzishwa kwenye idara ya Afya inaitwa COMMUNITY HEALTH, inasomwa kwa mwaka mmoja, vigezo vyake ni form four awe na pass za Biology D, na masomo mengine yoyote matatu kasoro ya DINI awe na Pass za D. Application zinatumwa kwenye mtandao wa NACTE. www.nacte.go.tz. Mhitimu ataajiriwa na serikali. Waambieni na wengine tafadhali hiyo ni fursa. The earlier the better


No comments :

Post a Comment

here u,re comments/acha ujumbe wako hapa

Kijiweni (nipe 5)