Ancentus (Danger) okuku akionekana pichani mwaka 1984, ni mkenya anayesemekana kuwahi kuwa na wake wengi zaidi, inasadikiwa kuwa na wake zaidi ya 100 katika kipindi cha maisha yake |
wabunge wengi wanawake wamepinga, mwanaume kuoa bila ya kuomba ridhaa kwa mke wa kwanza na kupendekeza kuwepo na kibali maalum toka kwa mke wa kwanza kwa kumruhusu mume wake kuongeza mke.
Wakati wabunge wa kiume wamesikitishwa na pendekezo hilo toka kwa wabunge wanawake, wakisema kuwa ndoa zote za kimila za kiafrika mwanamke pindi anapokubali kuolewa, huwa tayari ameshakubaliana kuwa na mitala kwa maana ya mume wake kuwa na wake zaidi ya mmoja, hivyo kupendekeza mwanaume kuomba kibali kwa mke wa kwanza ni kinyume cha maadili ya mwafrika
No comments :
Post a Comment
here u,re comments/acha ujumbe wako hapa