Translate in your language

Thursday, March 8, 2012

fomu za maombi ya mafunzo wizara ya afya !!!

kwa wale waliomaliza form four wanaweza jaribu bahatisha omba nafasi za masomo toka wizara ya afya, na kama tunavyojua wizara inahitaji watumishi katika idaya zake, hivyo ni nafasi pekee kwa wadau kuomba nafasi hizo za mafunzo na kuwa na uhakika wa ajira

form ya maombi na maelekezo yake (just click)

|Tangazo la Mafunzo Wizara ya Afya (just click)

karibuni kwa msaada zaidi !!!!!!

No comments :

Post a Comment

here u,re comments/acha ujumbe wako hapa

Kijiweni (nipe 5)