Hata hivyo timu hiyo inawaomba wadau kujitokeza kwa wingi kuisaidia michango ya hali na mali iliiweze kusonga mbele zaidi.
"Unajua mapenzi ya watanzania wengi waliweka kwa timu ya taifa ya wanaume na kutusahau sisi, hivyo tumeweza kufanya vizuri na sasa tunaendelea kuiwakilisha vyema bendela ya Taifa" walisema wachezaji hao.
;JAMANI TUJITOKEZENI KUICHANGIA TWIGA STARZ- Mafia Blog.
No comments :
Post a Comment
here u,re comments/acha ujumbe wako hapa