Translate in your language

Friday, March 19, 2010

MAISHA BORA KWA KILA MBONGO

AMBULANCE

Shida ya usafiri kwa wagonjwa sio vijijini tu, bali hata kwa watu wa hali ya chini ambao wako Dar es salaam ama miji mingine mikubwa yanawakumba kama haya. Sijui hali itaendelea mpaka lini landa zikijengwa zahanati kila kijiji

No comments :

Post a Comment

here u,re comments/acha ujumbe wako hapa

Kijiweni (nipe 5)