Translate in your language

Thursday, May 13, 2010

Waziri wa Nishati na Madini, William Mganga Ngeleja (kulia), aliteta jambo na Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika (katikati), walipokutana kwenye mazishi ya mama mzazi wa Mjumbe wa NEC, Christopher Mwita Gachuma, marehemu Gaudensia Bhoke Gachuma hivi karibuni huko Tarime mkoani Mara. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza, Crement Mabina. 
                    NGEREJA,WASIRA

No comments :

Post a Comment

here u,re comments/acha ujumbe wako hapa

Kijiweni (nipe 5)