Thursday, May 20, 2010


Picha Juu; SEMINA!!!

Mratibu wa  mtandao wa mashirika yasiyo ya kiserikali  yanayoshugulika na elimu ujulikanao kama TEN-MET wa wilaya ya  Kinondoni,Bi Zippora Shekilango,akitoa maelekezo kwa washiriki wa semina ya kufanya tathmini ya elimu ya msingi nchini  iliyofanyika jana katika ukumbi wa shule ya msingi ya Kinondoni.Tathmini hiyo inayoendeshwa na TEN-MET  ambayo imeanza kufanyika  wiki hii  itafanyika katika wilaya 38 za hapa nchini.

Picture 2.

Mshiriki wa semina ya tathmini ya elimu ya msingi  inayoendeshwa na TEN-MET,Rukia Masanyika,akichangia mada wakati wa semina iliyofanyika jana katika ukumbi wa shule ya msingi Kinondoni. Tathmini hiyo inayoendeshwa na TEN-MET  ambayo imeanza kufanyika  wiki hii  itafanyika katika wilaya 38 za hapa nchini.




No comments:

Post a Comment

here u,re comments/acha ujumbe wako hapa