Na Mwanablog wetu
JUKWAA la Wahariri limekemea vikali baadhi ya Wanasiasa ambao wanatumia vibaya vyombo vya Habari kutoa Habari za uongo kwa lengo la kuwachafua wengine, ni hila na zengwe za kiongozi hasiyefaa.
Hayo yalibainishwa katika taarifa iliyotolewa mapema leo katika vyombo vya Habari na kusainiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Chama Cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA), Ananielea Nkya, kufuatia mkutano wa Wahariri waandamizi zaidi 60 walioudhuria mkutano huo wa mikakati ya kufanikisha uchaguzi Mkuu na kuzuia mimba mashuleni.
Taarifa hiyo, ilisema kuwa, jukwaa hilo litasimamia kidete kuona nchi inajiandaa kwa uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba mwaka huu na kufanya vyombo vya habari kutekeleza wajibu wa kuwezesha uchaguzi kuwa wa huru na amani.
"Vyombo vya Habari wanatambua nguvu ya kuhakikisha Umma na umuhimu wa Habari kuwezesha uchaguzi kuwa wa huru na wa haki, hii ni pamoja na kuepuka kuandika na kutangaza habari zinazochochea chuki kwa misingi ya ukabila,imani ya dini na jinsia" ilisema katika taarifa hiyo.
Wahariri hao pia, walisema wanaweza kulisaidia Taifa kuepuka watu waovu kupata uongozi kwa kuandika Habari zitakazoweka bayana vigezo ambavyo mtu yoyote anayetaka kugombea uongozi atalazimika kuwa navyo.
Aidha, jukwaa
Hivyo, ni muhimu wanasiasa kutambua kuwa, asiyekubali kushindwa si mshindani
"Wamesema si vema ushindi uikahesabiwa kuwa idadi ya kura pekee, bali pia ni kwa jinsi gani uchaguzi utakuwa umefanyika kwa misingi ya Haki,Uhuru na bila rushwa ilikuimalisha amani, utulivu na demokrasia nchini".
Kuhusu suala la mimba mashuleni, jukwaa
"Mtaala wa sasa hauna uwezo wa kumsaidia mtoto kujitambua na kutoa maamuzi sahihi juu ya maisha yake,hivyo ni bora Serikali kuliona
Huku wakishauri mashirika yasiyoya kiserikali kushirikiana na vyombo vya Habari kuanzisha mjadala wa kitaifa utakao wezsesha kutambua haki zao na kujikinga vishawishi vya kupelekea kupata mimba mashuleni.
Aidha, maadhimio mengine walifikia wahariri hao, ni kuhakikisha wanaimarisha jukwaa lao ili liweze kuwa chimbuko la kusaidia wahariri kuimalisha taaluma na maslahi
No comments:
Post a Comment
here u,re comments/acha ujumbe wako hapa