MSANII 'LEO' KUINGIZA 'UMENITEKA' VIDEONI
MSANII nyota wa muziki wa Kizazi kipya nchini, Said Ally 'LEO' anayetamba na kibao cha 'Waliotabiri' yupo katika harakati za mwisho za upigaji wa picha za video wa wimbo wake mpya utakaojulikana kwa jina la "Umeniteka".
Akizungumza jijini
Akifafanua zaidi juu ya ujio wa video ya wimbo huo wa 'Umeniteka' uliokatika maadhi ya Zuku na Lege huku ndani yake akimshilikisha Idd au Sanko B, ambapo katika harakati za kuinua sanaa hiyo Nchini,LEO aliwaomba wadau waisubiri kwa hamu video hiyo ambayo itakuwa ni ya kitofauti na video nyingine hapa nchini.
"Wadau wakae mkao wa kula, video hiyo inatalajia kuwa ya kipekee,hivyo wasubiri kwa hamu kubwa" alisema
video inatarajiwa kurekodiwa chini ya studio ya Black and White huku Audio ya wimbo huo ukirekodiwa na Studio ya GML.
No comments:
Post a Comment
here u,re comments/acha ujumbe wako hapa